11 “Wewe kwa upande wako shika ninalokuamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza toka mbele yako Waamori na Wakanaani na Wahiti na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
8 “‘Mwishowe nikawaleta ninyi katika nchi ya Waamori waliokuwa wakikaa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, nao wakaanza kupigana nanyi.+ Ndipo nikawatia mkononi mwenu ili kuimiliki nchi yao, nami nikawaangamiza kutoka mbele yenu.+