11 Fanyeni hivi, pia, kwa sababu mnayajua majira, kwamba tayari ni saa ya ninyi kuamka+ kutoka katika usingizi, kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu zaidi kuliko wakati tulipokuwa waamini.+
12 mkingojea+ na kuweka karibu akilini kuwapo kwa siku ya Yehova,+ ambayo kupitia hiyo mbingu zikiwa zimewaka moto zitayeyushwa+ na vitu vya msingi vikiwa moto sana vitayeyuka!