Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 21:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+

  • 1 Wakorintho 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Amkeni muwe na utimamu wa akili+ katika njia ya uadilifu na msiwe na mazoea ya kufanya dhambi, kwa maana wengine hawamjui Mungu.+ Ninasema ili kuwafanya ninyi mwone aibu.+

  • 1 Wathesalonike 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki