Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini.+ Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ Waefeso 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote, 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+
18 huku kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendeleza sala kila wakati katika roho.+ Na kwa kusudi hilo endeleeni kukaa macho daima na kuomba dua kwa ajili ya watakatifu wote,
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+