Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui ni siku gani Bwana yenu atakuja.+

  • Marko 13:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa hiyo endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani, kama ni wakati wa jioni au katikati ya usiku au anapowika jogoo au asubuhi na mapema;+

  • 1 Wakorintho 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kaeni macho,+ simameni imara katika imani,+ endeleeni kuwa kama wanaume,+ iweni na nguvu.+

  • 1 Petro 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+

  • Ufunuo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu siku kuu+ ya ghadhabu+ yao imekuja, na ni nani anayeweza kusimama?”+

  • Ufunuo 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asipate kutembea akiwa uchi na watu waitazame aibu yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki