Luka 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Naye akifika katika kesha la pili, hata ikiwa ni katika la tatu, na anawakuta hivyo, wenye furaha ni wao!+ Luka 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
38 Naye akifika katika kesha la pili, hata ikiwa ni katika la tatu, na anawakuta hivyo, wenye furaha ni wao!+
36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+