Mathayo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa hiyo, endeleeni kukesha+ kwa sababu hamwijui ile siku wala saa.+ Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, Endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni gani.+