Mathayo 24:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui ni siku gani Bwana yenu atakuja.+ Mathayo 24:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 bwana wa mtumwa huyo atakuja katika siku ambayo hatazamii na katika saa+ ambayo hajui, Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, Endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni gani.+