Mathayo 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Kwa hiyo, endeleeni kukesha+ kwa sababu hamwijui ile siku wala saa.+ Marko 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Endeleeni kutazama, Endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni gani.+ Luka 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+