1 Wathesalonike 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+