Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui ni siku gani Bwana yenu atakuja.+

  • Luka 12:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 nanyi mtakuwa kama watu wanaomngoja bwana+ wao wakati anaporudi kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapofika+ na kupiga hodi wapate kumfungulia mara moja.

  • Matendo 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Kwa hiyo endeleeni kukesha, na kukumbuka akilini kwamba kwa miaka mitatu,+ usiku na mchana, sikuacha kumwonya+ kila mmoja kwa machozi.

  • Ufunuo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo, endelea kukazia akilini jinsi ulivyopokea+ na jinsi ulivyosikia, nawe uendelee kulishika,+ na utubu.+ Hakika usipoamka,+ nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua hata kidogo saa nitakayokuja juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki