36 nanyi mtakuwa kama watu wanaomngoja bwana+ wao wakati anaporudi kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapofika+ na kupiga hodi wapate kumfungulia mara moja.
3 Kwa hiyo, endelea kukazia akilini jinsi ulivyopokea+ na jinsi ulivyosikia, nawe uendelee kulishika,+ na utubu.+ Hakika usipoamka,+ nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua hata kidogo saa nitakayokuja juu yako.+