Mathayo 24:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamjui ni siku gani Bwana yenu atakuja.+ Luka 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Lakini jueni hili, kwamba ikiwa mwenye nyumba angejua mwizi atakuja saa ngapi, angeendelea kukesha naye hangeacha nyumba yake ivunjwe.+
39 Lakini jueni hili, kwamba ikiwa mwenye nyumba angejua mwizi atakuja saa ngapi, angeendelea kukesha naye hangeacha nyumba yake ivunjwe.+