Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 “Lakini jueni jambo moja, kwamba ikiwa mwenye nyumba angalijua mwizi anakuja katika kesha gani,+ angaliendelea kukaa macho na hangaliruhusu nyumba yake ivunjwe.

  • 1 Wathesalonike 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+

  • 2 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+

  • Ufunuo 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asipate kutembea akiwa uchi na watu waitazame aibu yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki