36 Basi, endeleeni kukesha+ wakati wote mkiomba dua+ ili mpate kufanikiwa kuponyoka mambo yote hayo yaliyokusudiwa kutukia, na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
16 mkiendelea kulishika sana neno la uzima,+ ili niwe na sababu ya kufurahi katika ile siku ya Kristo,+ kwamba sikukimbia bure wala kufanya kazi kwa bidii bure.+