6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+
10 Jinsi yalivyo mazuri maonyesho yako ya mapenzi,+ ewe dada yangu, bibi-arusi wangu! Jinsi maonyesho yako ya mapenzi yalivyo bora kuliko divai na harufu nzuri ya mafuta yako kuliko namna zote za manukato!+
3 Kwa hiyo, Maria akachukua ratili moja ya mafuta yenye marashi, nardo+ halisi, ghali sana, na kuipaka miguu ya Yesu, naye akaikausha miguu yake kwa kuifuta kwa nywele zake.+ Nyumba ikajaa harufu ya mafuta yenye marashi.