Hesabu 27:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nawe umsimamishe mbele ya Eleazari kuhani na mbele ya kusanyiko lote, nawe umpe utume mbele ya macho yao.+ Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.) Kumbukumbu la Torati 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Musa akamwita Yoshua na kumwambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, na wewe mwenyewe utawapa iwe urithi.+
19 nawe umsimamishe mbele ya Eleazari kuhani na mbele ya kusanyiko lote, nawe umpe utume mbele ya macho yao.+
38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)
7 Na Musa akamwita Yoshua na kumwambia mbele ya macho ya Israeli wote: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza watu hawa katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zao kwamba atawapa, na wewe mwenyewe utawapa iwe urithi.+