Yoshua 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Tena Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msiingiwe na hofu.+ Iweni hodari na wenye nguvu, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea adui zenu wote ambao mnapigana vita nao.”+ Waefeso 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwishowe, endeleeni kujipatia nguvu+ katika Bwana na katika uwezo+ wa nguvu zake.
25 Tena Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msiingiwe na hofu.+ Iweni hodari na wenye nguvu, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea adui zenu wote ambao mnapigana vita nao.”+