21 “Nami nikamwamuru Yoshua+ wakati huo, na kusema, ‘Macho yako yanaona yote ambayo Yehova Mungu wako amewafanyia wafalme hao wawili. Hivyo ndivyo Yehova atakavyozifanyia falme zote ambazo mnavuka kuziendea huko.+
19 ule uthibitisho mkubwa ambao macho yako yaliona,+ na zile ishara na miujiza+ na ule mkono wenye nguvu+ na ule mkono ulionyooshwa+ ambao Yehova Mungu wako aliutumia kukutoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wako atakavyowatendea watu wote unaoogopa mbele yao.+