Kumbukumbu la Torati 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 zile hukumu kubwa* ambazo mliona kwa macho yenu na ishara na miujiza+ na mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa ambao Yehova Mungu wenu aliutumia kuwatoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wenu atakavyoyatendea mataifa yote mnayoyaogopa.+
19 zile hukumu kubwa* ambazo mliona kwa macho yenu na ishara na miujiza+ na mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa ambao Yehova Mungu wenu aliutumia kuwatoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wenu atakavyoyatendea mataifa yote mnayoyaogopa.+