1 Samweli 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+ 2 Samweli 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu,Ulinipendeza sana.+Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu sana kuliko upendo kutoka kwa wanawake.+ 2 Samweli 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+ Methali 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+ Methali 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mafuta na uvumba+ ndivyo huufanya moyo ushangilie, ndivyo pia utamu wa rafiki ya mtu kwa sababu ya shauri la nafsi.+
4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+
26 Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu,Ulinipendeza sana.+Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu sana kuliko upendo kutoka kwa wanawake.+
9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+
9 Mafuta na uvumba+ ndivyo huufanya moyo ushangilie, ndivyo pia utamu wa rafiki ya mtu kwa sababu ya shauri la nafsi.+