Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+

  • 2 Samweli 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu,

      Ulinipendeza sana.+

      Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu sana kuliko upendo kutoka kwa wanawake.+

  • 2 Samweli 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+

  • Methali 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+

  • Methali 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mafuta na uvumba+ ndivyo huufanya moyo ushangilie, ndivyo pia utamu wa rafiki ya mtu kwa sababu ya shauri la nafsi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki