Zaburi 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hunilipa mema yangu kwa mabaya,+Hasara kwa nafsi yangu.+ Zaburi 109:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wananitendea mabaya kwa yaliyo mema+Na chuki kwa upendo wangu.+ Methali 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+ Yeremia 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+
20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+