Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hunilipa mema yangu kwa mabaya,+

      Hasara kwa nafsi yangu.+

  • Zaburi 109:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nao wananitendea mabaya kwa yaliyo mema+

      Na chuki kwa upendo wangu.+

  • Methali 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+

  • Yeremia 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki