Zaburi 55:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana sikushutumiwa na adui;+Kama ndivyo ningaliweza kuvumilia hilo.Si mtu anayenichukia vikali aliyejivuna sana dhidi yangu;+Kama ndivyo ningaliweza kujificha kutoka kwake.+
12 Kwa maana sikushutumiwa na adui;+Kama ndivyo ningaliweza kuvumilia hilo.Si mtu anayenichukia vikali aliyejivuna sana dhidi yangu;+Kama ndivyo ningaliweza kujificha kutoka kwake.+