1 Samweli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu. Zaburi 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+ Yeremia 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+
17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu.
20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+
20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+