Methali 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa mtu anayekuchukia ana njaa, mpe mkate ale; na ikiwa ana kiu, mpe maji anywe.+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.