Kutoka 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia akiwa amelala chini ya mzigo wake, basi lazima ujizuie usimwache. Lazima utamfungua pamoja naye.+ 2 Wafalme 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini akasema: “Usiwapige. Je, unawapiga wale ambao wewe umewachukua mateka kwa upanga wako na kwa upinde wako?+ Weka mkate na maji mbele yao ili wale na kunywa,+ waende kwa bwana wao.” Methali 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+ Mathayo 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+
5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia akiwa amelala chini ya mzigo wake, basi lazima ujizuie usimwache. Lazima utamfungua pamoja naye.+
22 Lakini akasema: “Usiwapige. Je, unawapiga wale ambao wewe umewachukua mateka kwa upanga wako na kwa upinde wako?+ Weka mkate na maji mbele yao ili wale na kunywa,+ waende kwa bwana wao.”
44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+