Methali 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ikiwa mtu anayekuchukia ana njaa, mpe mkate ale; na ikiwa ana kiu, mpe maji anywe.+ Waroma 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe;+ kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.”+
20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe;+ kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.”+