Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+ Methali 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+