Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • Zaburi 38:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+

      Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+

  • Zaburi 109:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nao wananitendea mabaya kwa yaliyo mema+

      Na chuki kwa upendo wangu.+

  • Yeremia 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, ubaya unapaswa kulipwa badala ya wema?+ Kwa maana wameichimbia nafsi yangu shimo.+ Ukumbuke kusimama kwangu mbele zako ili kusema mema kuwahusu wao, ili kuigeuza ghadhabu yako iondoke kwao.+

  • Yohana 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yesu akawajibu: “Niliwaonyesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba. Kati ya kazi hizo mnataka kunipiga kwa mawe kwa sababu ya kazi gani?”

  • Yohana 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu akamjibu: “Ikiwa nimesema vibaya, toa ushahidi kuhusu ubaya wenyewe; lakini ikiwa nimesema sawasawa, kwa nini unanipiga?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki