Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+

  • 1 Samweli 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+

  • 1 Samweli 14:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Lakini watu wakamwambia Sauli: “Je, Yonathani afe, ambaye ametimiza wokovu+ huu mkubwa katika Israeli? Ni jambo lisilowaziwa!+ Kama anavyoishi Yehova,+ hakuna hata unywele mmoja+ wa kichwa chake utakaoanguka chini; kwa maana alifanya kazi na Mungu leo.”+ Hivyo watu wakamkomboa+ Yonathani, naye hakufa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini yeye akasimama katikati ya lile shamba, akalikomboa, naye akaendelea kuwapiga na kuwaua Wafilisti, hivi kwamba Yehova akaokoa+ kwa wokovu mkubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki