1 Samweli 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Sauli akaitii sauti ya Yonathani, na Sauli akaapa: “Kama Yehova anavyoishi,+ yeye hatauawa.” 1 Samweli 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mara moja Sauli akamwapia kwa Yehova, akisema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hutapata hatia ya kosa katika jambo hili!”
10 Mara moja Sauli akamwapia kwa Yehova, akisema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hutapata hatia ya kosa katika jambo hili!”