Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini yeye akasimama katikati ya lile shamba, akalikomboa, naye akaendelea kuwapiga na kuwaua Wafilisti, hivi kwamba Yehova akaokoa+ kwa wokovu mkubwa.+

  • Zaburi 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+

      Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+

  • Isaya 59:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye alipoona kwamba hapakuwa na mtu, akaanza kushangaa kwamba hapakuwa na yeyote anayeingilia kati.+ Na mkono wake ukaokoa kwa ajili yake, na uadilifu wake mwenyewe ndilo jambo lililomtegemeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki