Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • 2 Samweli 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye ndiye aliyesimama, akawapiga na kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka na mkono wake ukaendelea kuushika upanga,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu mkuu siku hiyo;+ lakini nao watu wakarudi nyuma yake ili tu wawavue nyara wale waliopigwa na kuuawa.+

  • Zaburi 18:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+

      Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+

      Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki