5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+
10 Yeye ndiye aliyesimama, akawapiga na kuwaua Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka na mkono wake ukaendelea kuushika upanga,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu mkuu siku hiyo;+ lakini nao watu wakarudi nyuma yake ili tu wawavue nyara wale waliopigwa na kuuawa.+