1 Samweli 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+
5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+