3 Nilipoona kwamba hamniokoi, nikaazimia kuitia nafsi yangu mkononi+ mwangu mwenyewe, nikavuka kupigana na wana wa Amoni.+ Hivyo Yehova akawatia mkononi mwangu. Basi kwa nini mmekuja juu yangu kupigana nami leo?”
21 Sasa yule mwanamke akamjia Sauli, akaona kwamba alikuwa na wasiwasi sana. Kwa hiyo akamwambia: “Tazama, mjakazi wako ameitii sauti yako, nami nikaitia nafsi yangu mkononi mwangu+ na kuyatii maneno uliyoniambia.
24 Hata hivyo, siifanyi nafsi yangu kuwa kitu chenye thamani sana kwangu,+ kama tu ningepata kumaliza mwendo+ wangu na huduma+ niliyopokea+ kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+
30 kwa sababu alikaribia sana kufa kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiihatarisha nafsi+ yake, ili ajazie kikamilifu kutokuwapo kwenu hapa ili kunitolea mimi utumishi wa kibinafsi.+