Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakati baba yangu alipowapigania+ ninyi, akaihatarisha nafsi+ yake ili apate kuwakomboa ninyi kutoka katika mkono wa Midiani;+

  • Waamuzi 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nilipoona kwamba hamniokoi, nikaazimia kuitia nafsi yangu mkononi+ mwangu mwenyewe, nikavuka kupigana na wana wa Amoni.+ Hivyo Yehova akawatia mkononi mwangu. Basi kwa nini mmekuja juu yangu kupigana nami leo?”

  • 1 Samweli 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa yule mwanamke akamjia Sauli, akaona kwamba alikuwa na wasiwasi sana. Kwa hiyo akamwambia: “Tazama, mjakazi wako ameitii sauti yako, nami nikaitia nafsi yangu mkononi mwangu+ na kuyatii maneno uliyoniambia.

  • Zaburi 119:109
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 109 Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima;+

      Lakini sheria yako sijaisahau.+

  • Matendo 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, siifanyi nafsi yangu kuwa kitu chenye thamani sana kwangu,+ kama tu ningepata kumaliza mwendo+ wangu na huduma+ niliyopokea+ kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+

  • Wafilipi 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 kwa sababu alikaribia sana kufa kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiihatarisha nafsi+ yake, ili ajazie kikamilifu kutokuwapo kwenu hapa ili kunitolea mimi utumishi wa kibinafsi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki