1 Wakorintho 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini nashangilia kuwapo kwa Stefana+ na Fortunato na Akaiko, kwa sababu wao wamejazia kutokuwapo kwenu hapa. Filemoni 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ningependa kumzuia kwa ajili yangu mwenyewe ili badala yako+ wewe aendelee kunihudumia katika vifungo vya gereza+ nilivyo navyo kwa ajili ya habari njema.
17 Lakini nashangilia kuwapo kwa Stefana+ na Fortunato na Akaiko, kwa sababu wao wamejazia kutokuwapo kwenu hapa.
13 Mimi ningependa kumzuia kwa ajili yangu mwenyewe ili badala yako+ wewe aendelee kunihudumia katika vifungo vya gereza+ nilivyo navyo kwa ajili ya habari njema.