2 Wakorintho 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hiyo ndiyo sababu, kwa kuwa sisi tuna huduma+ hii kulingana na rehema tuliyoonyeshwa,+ hatufi moyo; 2 Wakorintho 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho,
4 Hiyo ndiyo sababu, kwa kuwa sisi tuna huduma+ hii kulingana na rehema tuliyoonyeshwa,+ hatufi moyo;
18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho,