Waamuzi 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+
28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+