Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakapigana vita na Midiani, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, nao wakamuua kila mwanamume.+

  • Waamuzi 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Zeba na Zalmuna+ walikuwa katika Karkori, nao walikuwa pamoja na kambi zao, kukiwa na karibu watu 15,000 waliobaki kutoka katika kambi nzima ya watu wa Mashariki;+ na wale waliokuwa tayari wameanguka ni watu 120,000 waliokuwa wakitumia upanga.+

  • Isaya 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana nira ya mzigo wao+ na fimbo iliyo juu ya mabega yao, fimbo ya yule anayewalazimisha kwenda kazini+ umezivunja vipande-vipande kama katika siku ya Midiani.+

  • Isaya 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na Yehova wa majeshi hakika atatikisa juu yake mjeledi+ kama ule wakati wa kushindwa kwa Midiani kando ya mwamba wa Orebu;+ na fimbo yake itakuwa juu ya bahari,+ naye hakika ataiinua juu kama alivyotendea Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki