Kutoka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+ Habakuki 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia bahari ulikanyaga kwa farasi zako, kupitia mkusanyo wa maji mengi.+
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+