Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akamtuma malaika+ na kumfutilia mbali kila shujaa, mwanamume mwenye nguvu,+ na kiongozi na mkuu katika kambi ya mfalme wa Ashuru,+ hivi kwamba akarudi katika nchi yake akiwa na haya usoni. Baadaye akaingia katika nyumba ya mungu wake na humo watu fulani waliotoka katika viuno vyake mwenyewe wakamwangusha kwa upanga.+

  • Isaya 30:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kila pigo la fimbo yake ya kutia adabu ambayo Yehova atafanya itue juu ya Ashuru hakika litakuwa pamoja na matari na vinubi;+ naye kwa kweli atapiga vita juu yao kwa mtikiso wa silaha za vita.+

  • Isaya 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+

  • Mika 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+

  • Nahumu 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo itakuwa kwamba kila mtu anayekuona atakukimbia+ naye atasema, ‘Ninawi ameporwa! Ni nani atakayemsikitikia?’ Nitakutafutia wapi wafariji?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki