12 Wakati Zeba na Zalmuna walipoanza kukimbia, akaanza kuwafuatilia mara moja, akawakamata hao wafalme wawili wa Midiani, Zeba na Zalmuna;+ naye akaitetemesha kambi nzima.
28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+
26 Na Yehova wa majeshi hakika atatikisa juu yake mjeledi+ kama ule wakati wa kushindwa kwa Midiani kando ya mwamba wa Orebu;+ na fimbo yake itakuwa juu ya bahari,+ naye hakika ataiinua juu kama alivyotendea Misri.+