Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati Zeba na Zalmuna walipoanza kukimbia, akaanza kuwafuatilia mara moja, akawakamata hao wafalme wawili wa Midiani, Zeba na Zalmuna;+ naye akaitetemesha kambi nzima.

  • Waamuzi 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+

  • Isaya 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na Yehova wa majeshi hakika atatikisa juu yake mjeledi+ kama ule wakati wa kushindwa kwa Midiani kando ya mwamba wa Orebu;+ na fimbo yake itakuwa juu ya bahari,+ naye hakika ataiinua juu kama alivyotendea Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki