25 Pia wakawakamata wale wakuu wawili wa Midiani, yaani, Orebu na Zeebu;+ wakamuua Orebu+ juu ya mwamba wa Orebu, nao wakamuua Zeebu kwenye mtungi wa divai wa Zeebu. Nao wakaendelea kufuatilia Midiani,+ wakamletea Gideoni kichwa cha Orebu na kile cha Zeebu katika eneo la Yordani.+