Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Pia wakawakamata wale wakuu wawili wa Midiani, yaani, Orebu na Zeebu;+ wakamuua Orebu+ juu ya mwamba wa Orebu, nao wakamuua Zeebu kwenye mtungi wa divai wa Zeebu. Nao wakaendelea kufuatilia Midiani,+ wakamletea Gideoni kichwa cha Orebu na kile cha Zeebu katika eneo la Yordani.+

  • Waamuzi 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Zeba na Zalmuna wakasema: “Simama wewe mwenyewe utushambulie, kwa maana jinsi mwanamume alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake.”+ Kwa hiyo Gideoni akasimama na kuwaua+ Zeba na Zalmuna, naye akachukua yale mapambo yenye umbo la mwezi yaliyokuwa katika shingo za ngamia zao.

  • Zaburi 83:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na uwafanye watu wao wenye vyeo wawe kama Orebu na kama Zeebu,+

      Na watawala wao wadogo wote kama Zeba na kama Zalmuna,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki