Waamuzi 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu aliwatia hao wakuu wa Midiani, Orebu na Zeebu+ katika mkono wenu, nami nimeweza kufanya nini kwa kulinganishwa nanyi?” Ndipo roho yao ikatulia kumwelekea aliposema neno hilo.+ Zaburi 83:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na uwafanye watu wao wenye vyeo wawe kama Orebu na kama Zeebu,+Na watawala wao wadogo wote kama Zeba na kama Zalmuna,+
3 Mungu aliwatia hao wakuu wa Midiani, Orebu na Zeebu+ katika mkono wenu, nami nimeweza kufanya nini kwa kulinganishwa nanyi?” Ndipo roho yao ikatulia kumwelekea aliposema neno hilo.+
11 Na uwafanye watu wao wenye vyeo wawe kama Orebu na kama Zeebu,+Na watawala wao wadogo wote kama Zeba na kama Zalmuna,+