Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Methali 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa subira kiongozi hushawishiwa, na ulimi wa upole unaweza kuvunja mfupa.+ Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+ Wagalatia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+
4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+