Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+

  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Methali 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa subira kiongozi hushawishiwa, na ulimi wa upole unaweza kuvunja mfupa.+

  • Mhubiri 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+

  • Wagalatia 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki