Mwanzo 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 naye akawaamuru, akisema: “Haya ndiyo ambayo mtamwambia bwana wangu,+ Esau, ‘Mtumishi wako Yakobo amesema hivi: “Nimekaa pamoja na Labani nikiwa mgeni kwa muda mrefu mpaka sasa.+ Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+
4 naye akawaamuru, akisema: “Haya ndiyo ambayo mtamwambia bwana wangu,+ Esau, ‘Mtumishi wako Yakobo amesema hivi: “Nimekaa pamoja na Labani nikiwa mgeni kwa muda mrefu mpaka sasa.+