Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe akawaambia: “Basi mimi nimefanya nini kwa kulinganishwa nanyi?+ Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko ukusanyaji wa zabibu wa Abiezeri?+

  • 1 Samweli 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+

  • Methali 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa subira kiongozi hushawishiwa, na ulimi wa upole unaweza kuvunja mfupa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki