Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na usiache hili liwe kwako sababu ya kufadhaika wala kikwazo kwa moyo wa bwana wangu, kwa kumwaga damu bila sababu+ na pia kwa kuacha mkono wa bwana wangu mwenyewe umwokoe.+ Na hakika Yehova atamfanyia mema bwana wangu, nawe utamkumbuka+ kijakazi wako.”

  • Zaburi 56:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—

      Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—

      Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki