31 Na usiache hili liwe kwako sababu ya kufadhaika wala kikwazo kwa moyo wa bwana wangu, kwa kumwaga damu bila sababu+ na pia kwa kuacha mkono wa bwana wangu mwenyewe umwokoe.+ Na hakika Yehova atamfanyia mema bwana wangu, nawe utamkumbuka+ kijakazi wako.”