Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili damu isiyo na hatia+ isimwagwe katikati ya nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe iwe urithi, na hatia yoyote ya damu isiwe juu yako.+

  • 1 Samweli 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi sasa, bwana wangu, kama anavyoishi Yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako,+ Yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe.+ Basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.+

  • Zaburi 73:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mimi nami karibu miguu yangu igeuke kando,+

      Hatua zangu zilikuwa karibu kuteleza.+

  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Yakobo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki