Zaburi 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+ Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+
16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+
18 Niliposema: “Hakika mguu wangu utatembea ukitikisika,”+Fadhili zako zenye upendo, Ee Yehova, ziliendelea kunitegemeza.+