1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Zaburi 117:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana fadhili zake zenye upendo zimekuwa zenye nguvu kwetu sisi;+Na ukweli+ wa Yehova ni wa mpaka wakati usio na kipimo.Msifuni Yah!+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
2 Kwa maana fadhili zake zenye upendo zimekuwa zenye nguvu kwetu sisi;+Na ukweli+ wa Yehova ni wa mpaka wakati usio na kipimo.Msifuni Yah!+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+