Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+

      Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+

      Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+

  • Zaburi 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+

      Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+

  • Zaburi 117:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana fadhili zake zenye upendo zimekuwa zenye nguvu kwetu sisi;+

      Na ukweli+ wa Yehova ni wa mpaka wakati usio na kipimo.

      Msifuni Yah!+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki